Na Mwandishi Wetu Dodoma Serikali imesema kuwa itatangaza fursa zaidi kwa ajili ya watanzania wengi kusoma nchini Marekani na nchi nyingine kote Duniani. Miongoni mwa maeneo ambayo serikali inakusudia kuyawekea mkazo kwa wananchi kusoma nje ya nchi ni pamoja na eneo la Sayansi, Teknolojia na elimu tiba. Utekelezaji wa matakwa hayo ni maelekezo ya ilani
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed